Hakuna CCM asie itaka Chadema. Tuivunje CCM mtandao na tuijenge upya CCM na tushindane kwa HAKI. #Kataawahuni
@Polepolehumph Tundu Lissu stands for Purity, Honesty, Patriotism. Siyo Maujinga Yenu ya Usaliti na Uhaini.
@Polepolehumph Fanyeni kazi
@Polepolehumph Kabisaaa ndugu pole pole naona akili Yako ssa inarudi kwenye leli tuombe tu usije kuwa unatafuta kitu😄😄
@Polepolehumph Na Hapo ndio Tanzania itaweza kuwa donor country. Tushindane kwa hoja, tudabate bungeni tukiheshimiana vyama vyote, tutengeneze policy bora zitakazofanya Tanzania prosperous. Huu uhuni ufike mwisho. I am sure watu zaidi ya million 50 tunaochukia wahuni..million men maandamano ✊🏾
@Polepolehumph Hivi vyama viwili CCM na CDM bila wote kushiriki hakuna hoja za moto wala uchaguzi hauna radha
@Polepolehumph Hili ni zaidi ya 100% CC mnaihitaji Chadema ili mpige hatua zaidi.
@Polepolehumph Wewe ndiye uliyeiua CDM enzi zako na Jiwe. Mlinunua, kuteka na kuua wapinzani. Nakuona kama umechanganyikiwa TU kwa sasa. Ni wewe na kundi lako ndio mlioasisi UCHAWA, Utekaji, Ushenzi na biashara ya siasa kwa kununua wapinzani. Huna maji ama dodoki la kusafisha ushenzi mlioufanya
@Polepolehumph Samia ni fisadi wa kutupwa ndo maana hakuna sehem utasikia anakemia wizi,ufisadi na matumizi ya hovyo ya mali ya umma..shetani pepo mchafu
@PolepoleHumph misukosuko ya chadema imeanza wakati mtandao hawapo tena madarakani 2015
@Polepolehumph Unaisemea CCM kama nani?Usitake kutukebehi CCM ni ileile toka ilipoasisiwa , cha muhimu ni mbadala
@Polepolehumph AMEEEEENNNNNN Hatuna shida na @ccm_tanzania kama wangekua wa MAANA na wenye KHERI NA SISI ILA ndo wamekua na CHOYO na WALAGHAI tushawachoka ! #NoReformsNoElection #kataawahuni #SamiaSuluhuSIOchaguoLANGU #SamiaSuluhuRaisiWaOVYO @ChademaTZ2 ndio nguvu ya UMMA na TUMAINI!
@Polepolehumph Kwa haki mh balozi, mnmhh Alinacha kalala, kutoboa.
@Polepolehumph Katika Kuvunja CCM mtandao tuanze na wewe unayetengeneza Taswira ya kufanya Chama Cha Mapinduzi kionekane cha Hovyo wewe na wenzio wenye Uchu ambao mara zote mmekuwa hamtendi Haki hata Kwa wale wanaowazunguka